😂😂😂Ni hivi yani kwa lugha rahisi Mungu ni cheo cha juu kabisa ambacho hakuna kiumbe chochote kinafananishwa nae.
Ndio maana ana majina mengi ila mwisho wa siku yey
😂😂😂Ni hivi yani kwa lugha rahisi Mungu ni cheo cha juu kabisa ambacho hakuna kiumbe chochote kinafananishwa nae.
Ndio maana ana majina mengi ila mwisho wa siku yeye ndio anamaanishwa.
Sasa linapokuja suala la kumtukuza,kumuabudu mimi siko kwenye izo taasisi (christian, muslim, hindu,butha etc)wala sijaji categories kwamba ni mpagani la hasha ni kwamba nafanya matendo mema (amri kumi ndio dira) na hazina haki miliki kwamba ni za dini flan so hauwezi kuzitumia.
Mfano mdgo kabla ya mapokeo ya hizi dini mababu wababu zangu walizitambua /kutambua nguvu kuu"eka ruwa".ikimaanisha ahsante Mungu .
Umenikumbusha hilo neno eka Ruwa, bibi yangu aliniambia alibatizwa akiwa mkubwa wa umri miaka ya 1920 nadhani, kabla ya hapo hawakua wanaijua ukristo ila walikua wanaamini Mungu ambaye ni Ruwa, na walikua na misemo ya kumtukuza Mungu kabla ya ujio wa dini ya ukristo mfano 'Ruwa mndumii' ni neno la kumtukuza Mungu , walikua walitamka hivyo hata miaka mia kabla ya kuja kwa ukristo.