Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Ni kumtesa fundi wa watu mshono mwingine utamfaa na kitambaa material mengine na rangi nyingine pia 😃😃😃
Ni history ya miaka 2000 tuu iliyopita ila (kama ni kwelii) kwa nini tumepokonywa ?Ibrahim na sara, Yosef na Mariam!View attachment 2761212View attachment 2761213
Hivi ndio vitu vinafanya wadada wakimbilie uturuki au kuvaa vigodoro😂😂😂.
Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa, ila tunabaki na ile falsafa ya imani, lakini mengi ni ngano tu.Ni history ya miaka 2000 tuu iliyopita ila (kama ni kwelii) kwa nini tumepokonywa ?
Alafu tunarudishiwa fake kuna kitu hakipo sawa ni either hawajawai ku exist ivyo wanatuandaa kisaikolojia Ili tuendelee kua misukule yao.(white supremacy,sadaka,unyonyaji).
Laiti sisi african tungekua na uelewa hata robo wa hizi drama za dini tungekua mbali sanaa.Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa, ila tunabaki na ile falsafa ya imani, lakini mengi ni ngano tu.
Umenikumbusha leo nilivyokuwa kanisani masomo na mahubiri ni yale yale tu miaka kumi ishirini nyuma na ndio hayo hayo miaka 10 mpaka 50 mbele, nikanisemea tu baada ya miaka 1000 sijui kama dini itakua tena sehemu ya maisha ya binadamu.Laiti sisi african tungekua na uelewa hata robo wa hizi drama za dini tungekua mbali sanaa.
Waliotuletea wameanza kuachana nayo lakini sisi ndiyo kwanza tunazalisha mitume na manabii kwa maelfu kila mwaka.Umenikumbusha leo nilivyokuwa kanisani masomo na mahubiri ni yale yale tu miaka kumi ishirini nyuma na ndio hayo hayo miaka 10 mpaka 50 mbele, nikanisemea tu baada ya miaka 1000 sijui kama dini itakua tena sehemu ya maisha ya binadamu.
Kuna sehemu nilikua nafanya kazi na wajeruy vijana hivi, walikua wakitushangaa sana sisi vijana tunatenga muda kabisa kwamba jumapili tunaenda kanisani!Waliotuletea wameanza kuachana nayo lakini sisi ndiyo kwanza tunazalisha mitume na manabii kwa maelfu kila mwaka.
Mungu Yupo na Anastahili kuabudiwa ila sina uhakika kama ni kwa utaratibu wa hizi dini za kisasa....
View attachment 2761303
Kulingana na Wanaanthropolojia, ni kweli Yesu hakuwa mweupe!Amini usiamini hii ndio sura na mfano halisi wa YesuView attachment 2761209
Ni kutokujitambua tu...Hivi ndio vitu vinafanya wadada wakimbilie uturuki au kuvaa vigodoro😂😂😂.
😂😂😂😂Huoni apo mzee baba kavunja shingo kwa ngongingo.Ni kutokujitambua tu...
Huku wametukamata hatuchomoi na kikwazo kikuu ni utumwa wa kifikra.Hatuko huru kuwaza mbele au tofauti na dini tulizokua nazo.Umenikumbusha leo nilivyokuwa kanisani masomo na mahubiri ni yale yale tu miaka kumi ishirini nyuma na ndio hayo hayo miaka 10 mpaka 50 mbele, nikanisemea tu baada ya miaka 1000 sijui kama dini itakua tena sehemu ya maisha ya binadamu.
njia sahihi nnayopendekeza ni kuachana na dini kabisaLaiti sisi african tungekua na uelewa hata robo wa hizi drama za dini tungekua mbali sanaa.
Kuna vitu viwili dini na Mungu ila sisi tumeaminishwa Mungu anapatikana ndani ya dini tuu.njia sahihi nnayopendekeza ni kuachana na dini kabisa
hata hao wazungu dini ya ukristo sio ya kwao walisambaziwa
kama mungu angekuwepo basi angeondoa hizi sintofahamu