mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
kila 'mungu' ana dini yake ukishaamini basi unaingia humo kwenye dini,Kuna vitu viwili dini na Mungu ila sisi tumeaminishwa Mungu anapatikana ndani ya dini tuu.
Au wewe labda hauamini kwamba kuna mkuu mwenye mamlaka,m niko tofauti naamini yupo na nafuata amri kumi.
hapa ndo waafrika tunapokua wanafki, tunaona matatizo ya dini ila tunashindwa kuacha😂
labda kama unaamini kuna mungu mahali ila hana jina, hajaandika kitabu, hajulikani.... hapo sawa

