Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16946258128338753.jpg
 
TUNAENDELEA NA SOMO

HAPA PICHANI NI KIUMBE ANUSTRA KUTOKA SAYARI YA MALAIKA HUKO SAOGOSTO.
vatican ni moja ya branch zao.

katika sayari ya MALAIKA huko SAOGOSTO.

MALAIKA WAO WA KWANZA kuumbwa ni GOMZOY na mke aliyetoka ubavuni mwake ni MALAIYAKA hawa ndio wazazi walio wazaa malaika wote.
huko umalaikani ziko koo nyingi sana ikiwemo koo za akina JOHNSON, SABR INA,nk

kiongozi mkubwa wa sayari ya umalaikani huitwa MOLA, MOLA NI KIONHOZI WA SAYARI NZIMA HUKO KWA WENZETU, WAKO MOLA WA MAJINI, MOLA WA RADI, MOLA WA DRAGONS NK huyo MOLA usimamia viongozi wa nchi zote za huko, kiongozi huyo huwa na majeshi makubwa sana ya sayari nzima yanayo mkubali na huyo ndio akaja kutafsiriwa ndie BWANA WA MAJESHI na watu wa imani fulani na kudhani ndie MUNGU ila hawakujua Mungu awez kuwa BWANA maana bwana ni mwanaume anajinsia ya kiume na ni kufururu Mungu kumuita Bwana , wale viongozi wa nchi huko uitwa PRESDA hili ndio jina watu wakaja kuliita PRESDENT . na mambo ya dunia kuwa na raisi mmoja atayeongoza maraisi wa nchi zote wanataka kukopi kutoka huko, hii ni agenda ya USA maana wanajua kweli hii kutoka masayari ya huko, ila aitowezekana watu kuungana bila kujua KWELI YETU JADI tuendelee

KATIKA sayari za malaika huko SAOGOSTO kuna viumbe wengine wengi tu, kama tulivyo duniani na viumbe wengine hata huko kwao umalaikani kuna viumbe wengine wengi mfano
ANUSTRA, KRISTINA, MAKERUBI,MASERAFI, GUVWIR nk

malaika baada ya kushtukiwa na watu duniani kuwa ni wongo wakaanza kuwakamata na kuwaua malaika walianza kuwa waoga na kuanza kutuma viumbe wengine kuja kufanya kazi zao, mfano KRISTINA, NA GUVWIR hawa viumbe KRISTINA walianza kwenda kupotosha huko pande za ITALIA na huko wakapata wafuasi baadhi wa kufanya mambo yao wale watu walioanza kuwa wafuasi wa viumbe KRISTINA hao ndio walikuja kuitwa KRISTIANS ndio waja hao leo ujiita jina la imani hyo, na kusema *wanamfata KRIST bila kujua krist ni jambo gani.
Screenshot_20230913-213622_Lite.jpg
 
Tafakari | Mathayo 13:24-30, 2 Wathesalonike 2:9-12
Usi_Bofye! Spoiler

==
Kanisa limemkataa shetani na mambo yake yote lakini bado kanisa linamtaja shetani katika mimbari na kuwahubiria waumini wake habari za shetani

Usishangae. CHADEMA kutoshiriki mazonge ya mkutano huo, haiondoi haki yao ya kujadili yatokanayo na mkutano huo. CHADEMA ni chana cha siasa.

Ayubu 1 pia inaonyesha kwamba Shetani anafanya uovu na kusababisha madhara ya moja kwa moja duniani. Habari za shetani zitahubiriwa kwa mataifa.

Tangu uchochezi wake wa uovu Duniani, Shetani ametajwa kama adui wa Mungu na ukweli (Mathayo 13:24-30, 2 Wathesalonike 2:9-12), shetani ni baba wa uongo.

Mungu anampa Shetani baadhi ya mamlaka katika ulimwengu, inamaanisha nguvu zake bado hazijavunjika kabisa-isipokuwa katika eneo moja: nguvu zake za kifo

=
 
Back
Top Bottom