Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Msukuma hapo unaweza kumpiga milioni kadhaa kwa kumwambia kuwa una tani 100 za pamba na unataka kumuuzia....
Note: This is trash!
Karibu tena dogo na pole kwa kifungo 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Acha waendelee Kula barware.Hiyo ni ishu nyingine!
Maana Ph.D hazina uhusiano wa moja kwa moja na ustawi wa kiuchumi. Ndo maana ukifika tu pale stendi kuu mjini Bukoba unaona kuwa kuna kitu hakiko sawa japo huko vijijini ndani ndani wamejitahidi 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2644437
usimuite mkuu huyo dogo wa 2003 😂Karibu tena mkuu na pole kwa kifungo.
Lenie is this you??😂
punguza fantasy bro 😂
usimuite mkuu huyo dogo wa 2003 😂