Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Imekuwa vigumu sana. Sababu ya hizi simu people have lost the ability to have meaningful and attentive conversations. Unatoka na mtu out ukidhani kuwa mtapata quality time muongee lakini kila dakika yupo kwenye simu yake. Sad
🥸
Ile Taarifa ya kale kabinti ndio inajibiwa hapa, it's so sad that General hakubali kuna shida ktk jeshi lake na Yuko tayari kurekebisha, hatuwezi kwenda mbele bila kujirekebisha kwanza