Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Poleni!
Wahaya wanajifanyga watu Bible kwa Kula Nzige jrs
hii kalii kuliko
Tena hapo huwaambii kitu na Ph.Ds zao. Kwanza ndiyo wanakwambia ensenene zina protini maalum zinazosaidia katika ukuaji wa haraka wa ubongo wa mtoto. Ukijumlisha na Omega fats wanazozipata kwa kula samaki wenye mafuta mafuta hasa emboju basi darasani ni moto wa kuotea mbali 😁😁😁Wahaya wanajifanyga watu Bible kwa Kula Nzige jrs
hii kalii kuliko
wazee wa kuharibu mipangoo
zisi izi rizonaboo... i am feelin the same way 😂😂😂
Tena hapo huwaambii kitu na Ph.Ds zao. Kwanza ndiyo wanakwambia ensenene zina protini maalum zinazosaidia katika ukuaji wa haraka wa ubongo wa mtoto. Ukijumlisha na Omega fats wanazozipata kwa kula samaki wenye mafuta mafuta hasa emboju basi darasani ni moto wa kuotea mbali 😁😁😁
View attachment 2643990