stacia
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 752
- 1,475
🤣🤣🤣🤣 Niache basiSi unaona!
"Ukorofi" unajifichaga kwani? 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 Niache basiSi unaona!
"Ukorofi" unajifichaga kwani? 😁😁😁
Hawa watu wa mwanza nawapa kongole kwa matunguri maana.........
Acha niishie hapo
Walienda kupiga biashara mkuu ya kilimo cha matikiti na viazi aseeee walipigwa na vitu vizito sana kichwaniKiliwapata nini hao ndugu zako?
Walikuwa wamekwenda kupiga mishe gani? 😁😳
Wapi hizi zinapatikana na mie nipate kama tatu
we dada kichwa chako unakijua mwenyewe 😂
Walienda kupiga biashara mkuu ya kilimo cha matikiti na viazi aseeee walipigwa na vitu vizito sana kichwani
wenzao wanauza magunia wao wanaambulia hasara tu na wote wamelima sehemu 1 mazao yanaharibika tu wenzao yananawiri,,,,
kuja kufuatilia jamaa 1 waliyekutana nae huko akawauliza swali 1 :
je mlivyokuja huku mlijipanga????
Ikaishia hapo,,,,,,,,
yaani mtaji wa X million uliisha ikabidi wapewe naulli ya kurudi moshi
Wenzio wamepiga faida ya 6m+ wao hola na wote waliopiga faida ni wa huko huko mwanza na kanda ya ziwa wote huko
Daah nikaaminigi hivi vitu vipo 😢😢😢 so sad
🤣🤣🤣 mshamba_hachekwiwe dada kichwa chako unakijua mwenyewe 😂
AbeeStacia
Stacia
Stacia
Nimekuita mara tatu 😁😁😁
Bora huyo kazama kabla ya mvua
aisee😂 kumbe we ni mtaalam wa haya maswala....Bora huyo kazama kabla ya mvua
Hayo hayana shule bhana wewe 🤭aisee😂 kumbe we ni mtaalam wa haya maswala....
kwakweli.... hii ni elimu dunia😂Hayo hayana shule bhana wewe 🤭
Kuna vitu ni automatikale mf. Kuwa kinyozikwakweli.... hii ni elimu dunia😂