hizo Ni dalili za sexual sadism and rapist ataanza kubaka sio mudaJoel Kimurgor (19) anashikiliwa kwa kuiba chupi za Wanawake katika Kijiji cha #Tegeyat, Kaunti ya Nandi, kufuatia mfululizo wa kutoweka kwa ajabu kwa nguo hizo zilizoripotiwa katika eneo hilo
Kwa wiki kadhaa, kumekuwa na visa vya Wanawake kuripoti upotevu wa nguo zao za ndani kutoka kwenye kamba nyakati za usiku ambapo walianzisha zoezi la upekuzi kutoka nyumba moja hadi nyingine ndani ya kijiji hicho
Siku ya Jumatatu, Aprili 23, 2023, Kijana huyo alipatikana na chupi hizo ndani ya nyumba yake na alikiri kuiba ili kumfurahisha mpenzi wake ambaye alimwomba amnunulie nguo mpya za ndani kama njia ya kuonyesha mapenzi
..........
Ila nyie 🤣🤣🤣
Bahati mbaya kwangu siwezi kubishana mabishano yasio na tija, pia siwezi kurudisha tusi iwe kwa kutyp au kwa kuongea.Na kitiki chake cha Blue, hawezi hata jibishana
Wanayo machache sana, email , contact, location basi.Ni verifaidi yuza?
Ina maana JF wana mafaili yake kamili kama watu wa NIDA? 😁
Mbona mimi sikutuma full I'd yangu zaidi ya email, ambayo muda wowote anaweza kubadishaNdiyo. Wanatumaga Vitambulisho orijino huko ndio upate tiki ya blue 😂
😂😂😂😂😂
Nadhani kwa sasa hakuna huduma ambayo hamna hapa duniani.huu ulimwengu unapoenda sasa hata sijui... Hii ni nyumba maalum kwa anaetaka kujiuwa, kila kitu kipo...
na yupo mhudumu wa kukutia moyo ili utimize lengo lako la kujiuwaView attachment 2599255
Hizo km 6 na km 100 ni artificial , km 1675 ni nature.
Hahaha😂