Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Shimba ya Buyenze achana na makabati Mkuu kuna kontena limefunguliwa 😀
Ila wewe 🤣🤣🤣Shimba ya Buyenze achana na makabati Mkuu kuna kontena limefunguliwa 😀
Mtoto wa watu mie bado mdogoThubutuuuuuu🤣
😀Mod akitaka kukupiga ban anahairisha akiona hii Avatar
Hamna haja tenaa😁Ila wewe 🤣🤣🤣
mtoto anapigwa ban kwel😂Na vitu unavyoandikaga haviendani na watoto, hapana nimekataa
Tena zaidi ya mara moja kwa mwezi 🤣mtoto anapigwa ban kwel😂
Yeye hata kitanda hana 😅
😀😀😀😀duuh hatarii hiiTena zaidi ya mara moja kwa mwezi 🤣
Hapa hauchomoki mwanawane 😅Majaribu mengine ni too much. Imagine unaletewa jaribu kama hili. Utachomokaje? 😳😳😳
View attachment 2598533
Walinipa ya dabo dabo hapo kati. Na avatar ilikuwa hiyo hiyo 😂😂😂😀Mod akitaka kukupiga ban anahairisha akiona hii Avatar
Eeh.. wala Avatar yako haikusaidia...Walinipa ya dabo dabo hapo kati. Na avatar ilikuwa hiyo hiyo 😂😂😂
Sijui 😂Eeh.. wala Avatar yako haikusaidia...
itakuwa mod mdada huyo😀