Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Tommy diaryNilikuwa namzingua tu Mpare wa watu. Inaonekana alikutana na kakimbaumbau kamoja (kama haka kwenye picha) kakamnyorosha sawasawa mpaka leo angali ni majeruhi. Nikimwambia ahamie huku kwenye mabonge no siteresi hataki. Mwache apambane na hali yake.
View attachment 2556362



JamesJuma mpemba.
View attachment 2557155

Walivyokuwa wabinafsi