Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16][emoji16][emoji16]
IMG-20230318-WA0133.jpg
 
Nilikuwa namzingua tu Mpare wa watu. Inaonekana alikutana na kakimbaumbau kamoja (kama haka kwenye picha) kakamnyorosha sawasawa mpaka leo angali ni majeruhi. Nikimwambia ahamie huku kwenye mabonge no siteresi hataki. Mwache apambane na hali yake.
View attachment 2556362


Aahahahahhaaaa kumbe alikamatika ......😅😅

Mahaba nyosoo sana saa ingine...
 
Back
Top Bottom