Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi kwa nini hawa viumbe wanawapenda sana wanawake?
Weeeee!!!![emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2556986
[emoji1787][emoji1787] ulichopost sio kibaya ila ukiangalia avatar haviendaniAvatar ilikuwa ni kwa ajili ya kumbukumbu ya jemedari. Nimeshaiondoa...
Nilichoposti hapa kina nini?
Nilikuwa namzingua tu Mpare wa watu. Inaonekana alikutana na kakimbaumbau kamoja (kama haka kwenye picha) kakamnyorosha sawasawa mpaka leo angali ni majeruhi. Nikimwambia ahamie huku kwenye mabonge no siteresi hataki. Mwache apambane na hali yake.
View attachment 2556362
Juma mpemba.
View attachment 2557155