Sie domo zege tulipata tabu sana shuleni.
Kweli kabisa maana unatumia hela kumfurahisha mwanadamu mwenzio ambaye hakupendi
Elimu ya uzazi imewaingia haswa mpaka wanashindwa kuzaliana...Wana -ve population growth (kwa wazungu) na wanapambana kufa na kupona taifa lao lisikome kuwepo na/au kuzidiwa uwingi na wageni....
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Kweli kabisa maana unatumia hela kumfurahisha mwanadamu mwenzio ambaye hakupendi
Kumbe hiki kitufye kipoKamanda Sex addict. Acha kugawa dislike kama njugu. Hizi ni memes tu tunajifurahisha. Nothing serious
View attachment 2541580

Ukiwa na kila kitu unakuwa huoni tena faida ya kuwa na watoto.Elimu ya uzazi imewaingia haswa mpaka wanashindwa kuzaliana...