Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

329003236_740177120711008_2899117441443636178_n.jpg
So it's true that he knows everything
 
Pole mkuu. Ni mbwembwe za huyo Mpare

Hiyo ChatGPT unaipata wapi na inatumikaje? Nimeona vyuo vikuu vingi huko nje wanahaha kutafuta namna ya kuidhibiti maana hata wanafunzi vilaza wameanza kuandika paper zenye uchambuzi safi kabisa mpaka maprofesa wanashangaa...

Hapo hapo Google nao wana ya kwao na Elon Musk naye ana sijui kitu gani hatari zaidi. Dunia inakwenda kasi sana na kila mtu ana wasiwasi na hii AI. Kazi nyingi zinakwenda kupotea!
unatumia kwenye browser kama google tu.. me natumia kwenye chrome.. link yake hii hapa



ukifungua watakuhitaji ujisajiri me nilisign in kwa kutumia google account (email)
after itakuja kama sehemu ya kutype message hivi unatype unachotaka kujua majibu yanakuja...
huu mfumo ni mzuri kwa kuwa unasaidia kusearch vitu na kukupa majibu specific tu kile umeuliza kama unamuuliza binadamu mwenzako. tofaut na google ambayo itakuletea general wewe ndo uanze kutafuta majibu sahihi...

me najitaid kujilimit maana naona kama inalemaza akili hivi kila kitu ukiulizwa chatGPT..

ila ofcourse ni creativity ya hali ya juu.. ni kama unapiga story na mtu tuu ijaribu utaipenda mkuu
 
unatumia kwenye browser kama google tu.. me natumia kwenye chrome.. link yake hii hapa



ukifungua watakuhitaji ujisajiri me nilisign in kwa kutumia google account (email)
after itakuja kama sehemu ya kutype message hivi unatype unachotaka kujua majibu yanakuja...
huu mfumo ni mzuri kwa kuwa unasaidia kusearch vitu na kukupa majibu specific tu kile umeuliza kama unamuuliza binadamu mwenzako. tofaut na google ambayo itakuletea general wewe ndo uanze kutafuta majibu sahihi...

me najitaid kujilimit maana naona kama inalemaza akili hivi kila kitu ukiulizwa chatGPT..

ila ofcourse ni creativity ya hali ya juu.. ni kama unapiga story na mtu tuu ijaribu utaipenda mkuu
Asante sana.

Nitaijaribu. Nasikia mpaka essay na summary inaandika vizuri tu!
 
Samahani mkuu spf ni nin
Kinachoua seli na kuzeesha watu haraka ni exposure ya ngozi kwenye UV radiation tunayoipata kutoka kwenye jua. Ukitumia sunscreen yenye SPF kuanzia 50% (na hasa 75%) kila mara unapopigwa na jua unakuwa unajikinga na hatari za hiyo mionzi ya jua. Matokeo yake hutapata wrinkles na alama za kuzeeka mapema hasa usoni na sehemu zingine utakakokuwa unaitumia.

Wajanja akina Depal walishaigundua siri hii mapema ndiyo maana ukiwaona utafikiri wako underage kumbe wanachezea 23 tayari

Screenshot_20230205-175015_Chrome.jpg
Screenshot_20230205-175116_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom