Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,207
- 40,645
Hongera kwake,ila ni mtihani mzito kule watoto watano,mtoto mdogo anasumbua sana jamani daah.........hao watano daahHongera dogo. God will provide!
View attachment 2504351
Hongera kwake,ila ni mtihani mzito kule watoto watano,mtoto mdogo anasumbua sana jamani daah.........hao watano daahHongera dogo. God will provide!
View attachment 2504351
🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️Nifungulie PM kwa dakika moja tu nikuulize kitu! 😁😁😁
Jipe muda...Kukata shauri? Means ujikute tu umekubali for the sake of being Mrs fulani?
Mhh 😂😂😂
Sasa kama yule ticha mhh ningekubali sahii ningekuwa mke wa mtu ila akuuuu,, tatizo nafsi zinakataa.
Ushafungua? 😳🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
SafiiiiBinti yake mpaka leo tumekuwa kama ndugu. Hata kwetu Misungwi alishafika....
Kwa nini unapenda ku-upgrade umri sasa? Vidimpozi na hiyo baby face huwa unamdanganya nani mpaka anadanganyika?![]()
Hii inatuhusu na sisi tunao simama..?

Mikwara tu hiyoTusitishane pulizi. Watu tulishasukuma milango imeandikwa pull hatutishwi na maandiko ya kwenye tisheti tu![]()
View attachment 2504640
Not with that baby face...Safiiii
Naimani hujadukua kimasihara
Natamani kuwa mkubwa 😂
Wanadanganyika tu
Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui 😂😂
WeeJipe muda...
When the right guy comes and the time is right utajua tu...
Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima....
You never know!
Subiri basi niache kupakaa SPFNot with that baby face...
Unatumiaga SPF ngapi?Subiri basi niache kupakaa SPF
Na hili juaaaa
Mbona nitakomaa chap
Ya 50.Unatumiaga SPF ngapi?
75%?, 50%, 25%
Siri hiyo wangeijua na mabinti wengine wallahi wasingezeeka wala kuchakaa usoni mapema.
I have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo.Ya 50.
Jamani wee
Tunapakaaa
Na kuzeeka tutazeeka
Ontario huyu wa JF
😅😅😅 hujanizoom vizuri itakuwaI have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo.
Hata nkamu alishaigusia hii ishu kule selfika japo sina uhakika kama watu walimwelewa...
Hiyo ndio maana ya kazi ziendelee. Fanya kazi kwa bidii