Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

c1157ba2-b3eb-497c-9572-bc82aa48c35f.jpg
 
Taarifa kwenye picha kuna Mwananchi amepanda NGUZO ya umeme wa msongo wa kilovoti 132 njia Mwanza-Musoma Nguzo namba 500 iliyopo Mwibagi Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara.

Mara baada ya kupata taarifa watu wetu wamewasiliana na Mkuu wa kituo cha polisi Kiabakari na kufanikiwa kufika eneo la tukio kwa wakati.

Timu yetu imefika na kumshawishi mhusika kushuka bila mafanikio. Jitihada za kumshusha bila kudhurika zinaendelea, na tunaweza kulazimika kuzima laini hiyo ambayo itapelekea Mkoa wote wa Mara kukosa umeme.
 
Back
Top Bottom