Afande kama afande
Chalichali wapinzani chali ukisikia gere mwambie wasomi tupo ngangari haya twende sasa tunasoma tukimaliza tutatoboa muongo huu wataisoma waambie tushasanuka
Say no to pedophilia and incest!

MmmhSiyo kwamba yupo kwenye massage ya mwili mzima anakandwa kandwa mabegani huku na kwingineko?
View attachment 2485642
Umbea si kazi ndogo babu si unajuaIla kweli aisee. Kama Marehemu Warumi (RIP) alikuwa anahangaika kweli mpaka kutoa pesa sometimes![]()

Hii meme inanihuzunishaga

Kwa nini mjukuu?Hii meme inanihuzunishaga![]()