Kitomari xxiv
JF-Expert Member
- Sep 26, 2021
- 1,285
- 12,572
Hawa wachina sasa ni too much
Hizo kelele nani alikuwa anatoa sasa?
Wladimir "Dr. Steelhammer" Klitschko alipokutana na Anthony Joshua enzi zile bado anatembeza vitasa sawasawa. Klitschko alikula uppercut moja matata sana en route to being knocked out ...na akastaafu mazima.



Why uogope kukotiwa na chaupole mimi jamaniNiliogopa kuona umenikwoti maana comment zako nyingi huwa siyo za mchezo mchezo uwii
Yeah! Kwenye utamu nakubalia japo siyo vitumbua vyote![]()

Eti chaupoleWhy uogope kukotiwa na chaupole mimi jamani![]()






Huyo anayepambana kumwokoa ama ni mgonjwa au kazeeka. Ataliwa tu. That mbogo is fighting a lost battle!
Mamaaaaaaa, unanichekesha walai,Eti chaupole
Hakuna mwanamke mtata hapa JF kukuzidi. Mi huwa nakukwepa tu aisee hata sasa siamini eti najibishana nawe kikawaida tu. Mpaka najishangaa yaani![]()
Basi nitaanza kukuzoea zoea pole pole. Hata ikitokea nikakupanda kichwani basi usinipopoe jamani bali nikanye tu kistaarabu...😁😁🙏🏿Mamaaaaaaa, unanichekesha walai,
Sijafikia huko bhana ile inakua ni mijadala tu kuchangamshana siku ipite,
Mimi mtu peace sana.
Nikajua ndio upo kunitaka last born mimi...dadangu tena 😪😪