Vyote hapo juu na utamu wake piaHivi ilitokeaje kitumbua kikafananishwa na ile kitu? Ni huku kuumuka kwake au ni haya mafuta mafuta?
View attachment 2485516
😂😂 mbona sasa sheeeeda?Hicho ndicho kitakachokupata, kwa mfano, ukija kwangu Misungwi. Utachinjiwa beberu la mbuzi na matokeo yake ndo hayo. Nyama za kila aina. Na ni lazima ule kweli kweli maana usipokula ni dalili ya dharau na kutukosea heshima wenyeji wako. Na nyama zingine zinakaushwa (mitanda) ukiondoka tunakubebesha. Ikibidi na ngozi ya beberu lako pia unafungiwa vizuri.
Utayaweza haya? 😁😁😁
Hiyo kesho hutoeleweka,, na ukisema ulikuwa unamdanganya atakwambia ni unajitetea tu
Niliogopa kuona umenikwoti maana comment zako nyingi huwa siyo za mchezo mchezo uwiiVyote hapo juu na utamu wake pia






Siyo kumkomoa mgeni. Tunajulikana kwa ukarimu wetu hasa kwenye ishu za misosi.mbona sasa sheeeeda?
Kwanza kabisa mimi kula sana uwa siwezi, sasa ukiniwekea msosi mwingi afu nisile sana ndio uone nina madharau si vibaya hivyo? Mnakuwa mnamkomesha mgeni.


Siyo kwamba yupo kwenye massage ya mwili mzima anakandwa kandwa mabegani huku na kwingineko?








Mambo mengine shetani mnamsingiziaga tu jamani. Kama hapa kwenye hii message sasa anahusikaje?Shetani ana nguvu sana






