Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Nani alikuwa na kosa hapa?
Kama bosi wako amekupa kazi ukaikataa, kwa nini uende wakati bosi mwenyewe kaamua kuitenda kazi hiyo hiyo uliyoikataa?
Na Makonda naye. Kwa nini asingetumia busara na kumwambia DC wake kuwa nilikupa hii kazi ikakushindaa. Kaa kwenye gari huko mpaka nitakapoimaliza. Au angemwambia tu usije. Nitasema una dharula....
View attachment 2485792
Unapenda siasa mkuu




