Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nani alikuwa na kosa hapa?

Kama bosi wako amekupa kazi ukaikataa, kwa nini uende wakati bosi mwenyewe kaamua kuitenda kazi hiyo hiyo uliyoikataa?

Na Makonda naye. Kwa nini asingetumia busara na kumwambia DC wake kuwa nilikupa hii kazi ikakushindaa. Kaa kwenye gari huko mpaka nitakapoimaliza. Au angemwambia tu usije. Nitasema una dharula....
View attachment 2485792

Unapenda siasa mkuu
 
Screenshot_20230118-120521_Instagram.jpg
mhhu!
 
Back
Top Bottom