McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,127
- 12,635

Hahahaha! Dah! Unaweza ukajiondokea na ela ya kazi unayo dai ukaiacha!Hapo wameambiwa location sio yenyewe![]()


Kazi inakua kama adhabuDuh! Classfied! Huyu kuna anayo yajua! Kumbe lile shambulio lilitekelezwa na hawa jamaa!? Wanakuaga wajinga wajinga hata shabaha hawajui, na shehe ponda wakamkosa mchana kweupeee!


WanaumbukagaAdobe inatumiwa vibaya! Hizo ndongaBinti ana njaa kiasi kwamba wasamaria wema wanamlazimisha kula mahindi ya kuchoma dah! This is humanity
View attachment 2483137
Ndio hutaki tena!
Marehemu
Haviishi.. ni endelevu 😁
🎯Samaki wa mapambo haliwi chifu. Wanapaswa kulijua hilo![]()
Totally buuurned
Huyu atakuwa kafuga kitu kingine, siyo paka!

Duh..