Hatari sana! Ukimuona mtu ala kunywa bia yake we muache wala hajidai wala sio kama anaringa, anajua mwenyewe alipo itoa
Kesha kusingizia umevuka na taa nyekundu ubungo flyover umemtia elf5 matokeo yake hayo sasa
Anamuingizia dawaMshana Jr niazime tunguli kwa muda nina kazi nazo malumuView attachment 2482961
Pale chini kibogoyo yupo mwaaaaBoth to score (GG)View attachment 2482967
Kale biaKwishaaaaaView attachment 2482972


sio usingizi huo
ghanja bhana



Nanihii pia zina warutubisha mzee
Huyu mbingu ataisikia kwnye mikutano ya injili


maaninahHa! Hajayapasua kweli! Na huku nyuma vp!? Kunausalama!!? Sikunyingine ukiwa una chukua picha geuza simu uchuku kwa mtindo wa landscape sio unaisimamisha pumbav