Google chrome
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 2,287
- 12,856



🤣🤣Uwoga wako tu,View attachment 2462255
Duh..inawezekana.
Wana utani wa ngumi....
Wengi sana...
Aisee 🤣🤣Nilihudhuria mkutano wa injili na mtu akanigusa bega kwa nyuma na kusema "UTATEMBEA"..sikujisumbua kwa sababu nilijua mimi sio kilema. Baada ya mkutano niligusa mifuko yangu na sikuweza kupata pochi yangu ambayo ilikuwa na nauli yangu. Na kweli!! NILITEMBEA!!
Duh....inatisha hata kama uchafu.
Kweli kabisa..
Msimu ngumu sana wa mwanzo wa mwaka..
Jirani ana mpango gani na hao jogoo...
🤣🤣
😁Hahaha. usinsemeee. Kama napenda kula..Tunakula kila kitu mafundi sisi