Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

photoCollageMaker_20221230_193246968.jpg
 
* A Rabbit entered a shop and asked: "Do you have carrots?". They said, "no we don't have." The following day the rabbit came to the shop and asked again, "Do you have carrots?" They replied angrily, " We said we don't have carrots, if you come back again asking for carrots, we gonna SINK A NAIL in ur HEAD with a HAMMER!" The third day the rabbit came yet again and asked, "Do you have a hammer? They replied, "NO." He said, "What about nails?" They said, "NO." Then he calmly asked, "Do you have carrots?" In the year 2023 don't let the devil scare you, he doesn't have anything. Just pursue your dreams

I wish you all a Prosperous New Year. God bless you.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala kumlipa fidia ya shilingi milioni 80 Alexander Ntonge mkazi wa kata ya Ipuli Tabora mjini, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka aliyofunguliwa ya kuwaamuru Askari Polisi kumkamata Ntonge na kumdhalilisha isivyo halali.

Akisoma hukumu hiyo katika shauri la madai namba 4 la mwaka 2021, Hakimu Mkazi, Jovith Kato alisema, mahakama imepitia ushahidi wa pande zote mbili na kujiridhisha kwamba Komanya Kitwala alitenda kosa hilo Januari 5 mwaka 2020, na hivyo mahakama imemuhukumu kulipa shilingi milioni 80 badala ya shilingi milion 140 ambazo mlalamikaji alidai kulipwa kutokana na makosa ya udhalilishaji.

Awali, wakili wa mlalamikaji, Kelvin Kayaga aliiambia mahakama kuwa, Komanya Kitwala alikwenda nyumbani kwa mlalamikaji akiwa na Askari Polisi ambao aliwaamuru kumkamata na kumtesa, kisha kumuweka ndani katika Kituo Kikubwa cha Polisi Tabora mjini bila kuwa na kosa lolote, ambapo baadaye aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora kwa wakati huo, ACP Safia Jongo aliagiza mlalamikaji Alexander Ntonge kuachiliwa huru kwa madai kulikuwa hakuna kosa lolote alilofanya.
#AzamTVUpdates
 
Back
Top Bottom