Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Trump😂😂
Hakuna watu wana Imani kama wanachadema. Hawa jamaa wana Imani ya kuhamisha milimaBila katiba mpya?
Bila tume huru ya uchaguzi?
Bila kufanya mikutano ya kisiasa?
View attachment 2462354
Kabisa yaani...If I die I die...you slap it and watch it move in sloo moo! Those ole good days
Hujambo lakini?
Nakutakia mwaka mpya wenye heri na mafanikio. You are a good person na kamwe sitausahau wema wako. Ulinivusha kipindi kigumu sana. I am eternally grateful my friend and I will always pray for you and wish you the best wewe pamoja na familia yako. Ubarikiwe sana kimdabuo cha watu!
View attachment 2462555


Jirani...na alikuwa anapewa kweli!Bora kumpa jirani kuliko kioze![]()






Jirani...na alikuwa anapewa kweli!
Akija hapa mi simo utapambana na hali yako mwenyewe



Kutishana tu

Napenda Sana hii,Watoto wa kishua, kizazi cha Oryx na Mihan hawawezi kuelewa hii vibeView attachment 2463073
Wanaume wa dar watainywa
