Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Bwana marehemu alilazimishwa.
wachaga wapigwe marufuku kununua magari.Wao ndiyo sababu ya Foleni kumbe.Safiii
Aisee...wachaga wapigwe marufuku kununua magari.Wao ndiyo sababu ya Foleni kumbe.

GHARAMA HALISI ZA DARAJA HILI.
Urefu wa mita 40.
1. Mbao 10 za 2x6 =100,000/
2.Mbao 60 za 2x2 =180,000/
3.Waya mita 80=2,000,000
4.misumari = 70,000/
5. ufundi =2,000,000/
JUMLA =4,350,000/-
Lakini SAMA katumia milion 74 mara 18 ya bei halisi. TUNAKOPA SANA TUNAJENGA SANAView attachment 2457443
Vegetarians watakuwa hawana kisingizio tena cha sijui wanaheshumu nature wala nini....
Nitag please ukiwezaOk subiri kuna formula yake nitakuwekea hapa
Order ya nini?In the following order:-
(1) majolica
(2) jiwe
(3) hangaya
(4) semaji sigwa
(5) sipika
(6) January
(7) msukuma
(8) kibajaji
(9) nape
(10) shaka
Bora katoka yanga,yanga wabaki na mayele wao nyamisifa![]()



