SABABU FEI KUSEPA YANGA
Bora katoka yanga,yanga wabaki na mayele wao nyamisifaSABABU FEI KUSEPA YANGA
Fei ameamua kujichomoa Yanga kutokana na kutotekelezwa kwa ishu yake ya kimasilahi ikiwamo ombi la ongezeko la mshahara anaolipwa.
Fei amewaeleza hana furaha kuona wachezaji kadhaa wa kigeni wakilipwa fedha nyingi, huku wakiwa wanaishia kukaa jukwaani tuView attachment 2457273
