Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16719181025145168.jpg
 
TUZO YA KIONGOZI MUONGO TANZANIA 2022

Haya tuwapatie tuzo viongozi 10 bora waliofanikiwa kutudanganya kwa mwaka huu.

Kauli mbiu, kusema UONGO ni chachu ya maendeleo.

Wape washindi wako wa uongo nafasi kati ya 1 hadi 10 ambapo namba 1 ni kinara wako

1. Waziri Mkuu
2. Waziri wa Fedha
3. Mseamji wa serikali
4. Waziri wa Nishati na umeme
5. Wafafanuzi wa mabehewa
6. ....
7.....
 
Top ten inaendelea
1.Jiwe
2.katelefone
3.Semaji
4.mzee wa tai bendera
5.marope
6.mtamaboy
7.hangaya
8.dalali zito
9.chalamila
10.kalamaganda kabugi

Sasa wewe unakosea. Umeambiwa orodha ya waongo, siyo ya wajinga. Sasa Chalamila umamwrka wa nini hapa?

Nisamehe sana ndugu yangu nimekosa nimekosa mimi nimekosa sana
 
Back
Top Bottom