
Hawa wehu sijawahi kuwaelewa,kidogo huyu wa nywele piko,
Siyo mimi
. nimeitoa Facebook huko
Nikaicrop kuzuia baadhi ya info zangu za fb ndio nikacreenshot cropped
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

duh Basi kuna wadada wanapata tabu sana apo yewezekana hadi kizazi chake kitafutika duniani wote hawatapata chance ata ya kukiss mmoja wa kizazi cha MbappeKuna shida nimejaribu kukufikikia nashindwa
Karibu iweke hapaOkay wacha tu niiweke hata hapa maana sio nyeti ni mambo tu ya kawaida
Kuna shida nimejaribu kukufikikia nashindwa

Ok subiri kuna formula yake nitakuwekea hapaSamahani kwa usumbufu kidogo,
Nlikuwa naomba msaada wa kuelekezwa namna ya utengenezaji wa juice ya ukwaju kwa ajili ya matumizi ya kupunguza kitambi.
Naomba msaada wa namna ya kuandaa hiyo juice.
Ahsante![]()
Ok subiri kuna formula yake nitakuwekea hapaSamahani kwa usumbufu kidogo,
Nlikuwa naomba msaada wa kuelekezwa namna ya utengenezaji wa juice ya ukwaju kwa ajili ya matumizi ya kupunguza kitambi.
Naomba msaada wa namna ya kuandaa hiyo juice.
Ahsante![]()


