Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Samaki hawavuti maji. Hata wenyewe wanavuta hewa sema tu hiyo hewa imo kwenye maji

Samaki hawavuti maji. Hata wenyewe wanavuta hewa sema tu hiyo hewa imo kwenye maji


Duuuh aiseee 😀
Gongo la Ndugai
Nikwasababu fizi zinawasha,ukiweka kidole hapo kutoa labda Kwa winchi
Kweli kabisaNdo maana twafa mapema siye!
View attachment 2453474
Ndungai alijua kupiga kazi,kamflotisha mtu kufumba na kufumbua tu.
Mtaishia kupigana miti tu si zaidi ya hapo