Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Niue Kama wewe ni mwanaume kweli

Amejenga nini? Au amejenga kwao?Madelu juzi kati katuambia Rais Samia hajakopa sana, kwamba mikopo mingi ilikopwa na Hayati Magufuli. Leo Rais Samia anakiri amekopa sana, ila anajitetea ni kwa sababu kajenga sana kuliko awamu zote. Swali; View attachment 2453233View attachment 2453234
Kukusanya kodi hawataki. Sasa naona hali si shwari...
View attachment 2453354
Nitakupigaaaaaa........Niue Kama wewe ni mwanaume kweli![]()
Mideko kumbe na wewe mkongwe?🤣
Dah!!Zitakuwa bado mpya mpya hazijaanza kuniniliu pale..,
Kauli yangu ni hii,mie ni mrefu zaidi yako nakukunja tuNitakupigaaaaaa........



LooohDah!!Zitakuwa bado mpya mpya hazijaanza kuniniliu pale..,