Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1671588834672.jpg
 
Wasiokunywa ni wale wanamasalia ambao hawasuki hata nywele wala kuvaa aina yo yote ya urembo. Hawa ndo walitinga airport bila passport wala nauli....

Mimi ni Msabato lakini soda nazitandika na kile kinywaji kilichotengenezwa pale Kana ya Galilaya huwa nakipiga mara moja moja
na ile kitu pia unapiga.... Msukuma unaniangusha aisee

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Wasukuma nani?

Zamani kabila lililodharauliwa kati ya mengine 128 lilikuwa ni Wahaya, kila kitu na jambo baya vilifananishwa nao.

Wahaya wakafanya bidii wakajikomboa, kijiti kikahamia kwa Wamakonde. Hawa nao wameishi na mapito na majaribu haya hadi gesi ilipowapa heshima na kuwaondolea kudharauliwa.

Ngoma ikawaendea Wasukuma bhana! Lolote la kushangaza chini ya jua akifanya mtu hata kama ni Mzungu utasikia watu wakisema "Msukuma wa wapi huyo?"

Unadhani baada ya Wasukuma kijiti hiki kitahamia kwa kabila lipi? Toa utabiri wako.
 
Back
Top Bottom