Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Kula kitu roho inapenda bro. Maisha ni haya haya hakuna mengine
Kula kitu roho inapenda bro. Maisha ni haya haya hakuna mengine
Another banger, kinababa wa Arusha kaeni chini mmalize tofauti zenu na nabiiView attachment 2452728
Matapeli tu!
Liongo hili jamaa tangu kwenye Korona mpaka sasa hivi. Masaa mawili hawezi kufanya kazi sawasawa na ni hatari sana kwa kiongozi wa nchi. Hii siyo sifa bali ni uthibitisho kuwa mama anahitaji tiba ya insomnia. It can kill!Ona huyu!!! Bora mlimchukua,anafikiri anaongea kitu cha sifa na heshima kumbe anatengeneza uncertainty. Kushindwa kulala vizuri ni tatizo linalo ondoa focus ktk uwajibikaji.Kulala ni nguzo muhimu ya kujenga fikra bora.Rais naye awe na subira ktk maongezi yake na hawa.View attachment 2453237
Wamejenga nini? Wapi? Lini?Madelu juzi kati katuambia Rais Samia hajakopa sana, kwamba mikopo mingi ilikopwa na Hayati Magufuli. Leo Rais Samia anakiri amekopa sana, ila anajitetea ni kwa sababu kajenga sana kuliko awamu zote. Swali; View attachment 2453233View attachment 2453234
@Mjep na mie nikuje gereji unifundishe vyote?
Kuchiti ni ugonjwa
Siyo kweli!Kuchiti ni ugonjwa
Kwanini?Siyo kweli!