Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

a15e31c532c14b9d8f173887113be57c.jpg
 
Tena!

Tumemaliza majadiliano na Ujerumani, wameipatia Tanzania Msaada wa TZS 209,746,204,779.00 kwa ajili ya kusaidia masuala ya sekta ya Afya, Maji, Uwezeshaji wa wanawake,Ulinzi wa bioanuwai,kuzuia rushwa, mfumo wa Kidijitali,kuunganisha kaya na maji ya kunywa na usafi wa Mazingira.View attachment 2424678
Binafsi hata nikikutana na mtu barabaran ananiomba hela, ni heri nikamnunulie juice take-away au niende nae mpaka mgahawani nimnunulie chakula cha 2000 kuliko kumpa hiyo coin. Maana nilikuja kushtukia wengi matapeli tu.
Tanzania sio ya kuipa pesa tena, bora watupe wataalamu wao, vifaa na teknolojia zao hata kama ni za miaka ya 90 etc vije/waje kutusaidia huku.
 
Binafsi hata nikikutana na mtu barabaran ananiomba hela, ni heri nikamnunulie juice take-away au niende nae mpaka mgahawani nimnunulie chakula cha 2000 kuliko kumpa hiyo coin. Maana nilikuja kushtukia wengi matapeli tu.
Tanzania sio ya kuipa pesa tena, bora watupe wataalamu wao, vifaa na teknolojia zao hata kama ni za miaka ya 90 etc vije/waje kutusaidia huku.
Hasa g,mboto unakutana na mtu anakuomba kaishiwa nauli na katokea tegeta na mwenyeji wake hapatikani kwenye simu

Kariakoo gerezani matapeli kama wote,
 
Hasa g,mboto unakutana na mtu anakuomba kaishiwa nauli na katokea tegeta na mwenyeji wake hapatikani kwenye simu

Kariakoo gerezani matapeli kama wote,
Hizo tricky tushaishtukia, na kuna wale wadada wanakuwa na mtoto wanajifanya wamepoteza nauli au mtoto anaumwa.. kuna wadada nilikutana nao pale maeneo ya victoria halafu siku chache baadae nikakutana nao tena, walivyoniona hata hawakunisemesha wakakaza mwendo
 
Hizo tricky tushaishtukia, na kuna wale wadada wanakuwa na mtoto wanajifanya wamepoteza nauli au mtoto anaumwa.. kuna wadada nilikutana nao pale maeneo ya victoria halafu siku chache baadae nikakutana nao tena, walivyoniona hata hawakunisemesha wakakaza mwendo
Hao huwa siwapi hata 50, ni matapeli. Kuna baba hivi mara kibao nakutana nae anaomba nauli hadi anasahau watu anakuomba kwa mara ya pili, ya tatu na sababu ni zile zile hadi tushamkariri. Siku hizi nikimuona namtoa baru.
 
Hizo tricky tushaishtukia, na kuna wale wadada wanakuwa na mtoto wanajifanya wamepoteza nauli au mtoto anaumwa.. kuna wadada nilikutana nao pale maeneo ya victoria halafu siku chache baadae nikakutana nao tena, walivyoniona hata hawakunisemesha wakakaza mwendo
Wahuni tu,nilisha sema sitoi,

Mmoja ilikuwa kino studio akasema hana nauli na mwenyeji hapatikani na dar ni mgeni inabidi aende mbagara. Huwa nawaambia mie mwenyewe ni mgeni pia

Nilimpaga pesa kiwete pale posta,kugeuka tu limtu likaenda kuichukua hile hela. Nikajisemea dar kila kitu ni utapeli tu.
 
Back
Top Bottom