We mzee ahida kweli (tabu tupu) mjukuu wako mimi wa kazi gani wakati nina mkukuu wa Chief Kingalu!? Sina shida na mjukuu wako. Na pia mimi nimesemea najua mtu akizeeka anafanya kipara![]()



muone kwanzaHaki ya nani mi niko tayari. Tena niko desperate hatari kupata katoto ka kuzeekea. Na nimeshajiandaa kila kona. Sema tu kama upo siriaziShimba tufanye mpango basi kabla mwaka haujapinduka









Hii ni kweli


Kweli..
Achana naye huyo mjukuu. Hana jipya. Endelea kumkazia hivyo hivyomuone kwanza


Sijaiona burgundy...



🤣🤣🤣
Aendelee kuchimba chumviAchana naye huyo mjukuu. Hana jipya. Endelea kumkazia hivyo hivyo![]()

Haki ya nani mi niko tayari. Tena niko desperate hatari kupata katoto ka kuzeekea. Na nimeshajiandaa kila kona. Sema tu kama upo siriazi![]()


naachaje kuwa siriaz, na mimi nataka ka junior ka kisukuma


Muone!naachaje kuwa siriaz, na mimi nataka ka junior ka kisukuma
![]()











