Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ukweli mtupu[emoji16][emoji75]
FB_IMG_1661678434485.jpg
 
We mzee ahida kweli (tabu tupu) mjukuu wako mimi wa kazi gani wakati nina mkukuu wa Chief Kingalu!? Sina shida na mjukuu wako. Na pia mimi nimesemea najua mtu akizeeka anafanya kipara [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji1493][emoji1493][emoji1493]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muone kwanza
 
Haki ya nani mi niko tayari. Tena niko desperate hatari kupata katoto ka kuzeekea. Na nimeshajiandaa kila kona. Sema tu kama upo siriazi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji16][emoji16][emoji16] naachaje kuwa siriaz, na mimi nataka ka junior ka kisukuma[emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] naachaje kuwa siriaz, na mimi nataka ka junior ka kisukuma[emoji125][emoji125][emoji125]
Muone!

Kitakachokupata shauri yako we Mkinga endelea tu kumshika simba sharubu. Utakuja kujikuta kitumbo ndiii [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Back
Top Bottom