Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

We pepo utaisikia kwenye TV tu.

Kitambo kidogo kinepita. Ushaharibu mabinti wangapi huko baada ya kutolewa nje na mjukuu wangu?
We mzee ahida kweli (tabu tupu) mjukuu wako mimi wa kazi gani wakati nina mkukuu wa Chief Kingalu!? Sina shida na mjukuu wako. Na pia mimi nimesemea najua mtu akizeeka anafanya kipara 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾🏃🏾🏃🏾
 

Attachments

  • Screenshot_20220228-054046_Telegram.jpg
    Screenshot_20220228-054046_Telegram.jpg
    29.6 KB · Views: 25
Back
Top Bottom