Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20220828-093445_Telegram.jpg
 
Mfumo dume mamake. Sisi huwa tunachukulia kama ni haki yetu yaani....

Halafu unajua? Sisi tunaongozwa na nyege tu ndo maana tunaweza kula mbususu huko nje na upendo kwa waifu ukawa uko pale pale. Kwenu nyinyi ni tofauti. Nyinyi mnaongozwa na hisia. Ukianza kuliwa huko nje ukakolea hisia zote zinahamia huko. Dharau na kukosa heshima kunaanza ndani ya nyumba. Hata mume kuipata hiyo mbususu inakuwa ni kwa ratiba...ndo maana huwa tunapewa usia na babu zetu kuwa "ogopa sana mke wako akianza kuliwa nje". Yaweza kuwa ndiyo mwanzo wa wewe mume kuondolewa duniani maana nyie mkipewa mapenzi makali huko nje mnatekwa jumla hata mkiambiwa tumuue mumeo ili tutanue vizuri mnakubali tu....

Yote kwa yote cheating siyo nzuri kwa pande zote na mkianza kuchitiana kusema kweli inakuwa haina maana tena!
View attachment 2336747
sio kweli. Makahaba wanaliwa kwa sababu wana hisia na wateja wao? Utaniambia wapo kazini lakini mimi nitakuambia huo ni uthibitisho kuwa mwanamke anaweza kuliwa na mwanaume huyu na huku moyo wake unampenda mtu mwingine. Hata mwanamke anaweza kuliwa nje na heshima kwa mumewe ikabaki, ingekuwa ni hivyo basi wanawake wote wanaochepuka wangekuwa wanakamatwa maana hiyo dalili iko wazi. Lakini unaweza kuishi na mwanamke mkazaa watoto wa nne nusu wakawa damu yako nusu wa nje na ukakaa miaka mingi usijue.
Maelezo yote hayo sio kwamba nataka kuonyesha nani fundi wa kuchepuka zaidi ya mwenzie, point yangu ni kwamba kuchepuka ni jambo la kipumbavu haijalishi linatendwa na mwanaume au mwanamke...yeyote anayechepuka anamvunjia heshima mwenza wake period!
 
Back
Top Bottom