Mwanamke anaejielewa.
Mwanamke anaejielewa.
Kabisa...mwanamke akisema i love u wee jifanye unamuamini
Ulevi dizaini hii mwisho wake kubokolewa tu
Yan unakuta umepiga mishe zako umepata pesa baada ya week imekata unabaki kujiuliza umeishaje[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kweli kbsa ukiwa na hela nyingi ukibakiwa na 10000 ndyo unawza si nilikuwa na laki mimi [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji16][emoji16][emoji16]sio poa
Makato (tozo) unayokutana nayo benki unatamani bora ungehifadhi pesa zako kwenye kibubu tu...Dw wana maana View attachment 2335337gani
embu tutafakar ktk uhalsia