Mzunguko wa elimu..
01.👉Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical schools.
02.👉Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.👉Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.
04.👉Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana amani..
05.👉Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji, na viongozi wa dini..
Wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Kweli kila mmoja ni bosi akiwa kwenye nafasi yake😊