Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mgeni​

Huyu Mgeni ni shiiiida!
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Mwenyeji: Utakunywa na keki au mkate?
Mgeni: Nipe keki mkate nitanywea chai ikishachemka.
Mwenyeji: Utapendelea ndiz au machungwa,
Mgeni: Nipe machungwa ndizi ntakula na wali
mchana.
Chezea mgeni ww.!!!
 

Visa vya Madenge​

Baada ya kumaliza form four babaake akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo
MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.
BABA: Shenzi kabisa wewe. Yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.
MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu? Lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu ili kila mtu akae na mamayake
Siamini mtu aliyemaliza form four awe na akili hizo
 
,View attachment 2314938View attachment 2314940View attachment 2314939View attachment 2314941
FB_IMG_16595283336703724.jpg
 
NOTE: Sio Lyrics Halisia na Wimbo wenyewe.......Wimbo huu ni wakifaransa ulioimbwa na "Vegedream ukienda kwa jina la remenez la coupe a la maison " special kwaajili ya Timu ya Taifa ya Ufaransa kwenye kombe la Dunia 2018 ambapo walifanikiwa kuchukua kombe hilo


 
Back
Top Bottom