Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Hawa si 4m4 failure kingereza wapi na wapi
Wabunge wa ccm
Duh!
Ukiona hivyo maana'ake utashi hakunaHuo ubao si unatoka mbona kama umeegeshwa tu
Mie najuaga mapolisi hawajui kingereza



Dooh🙄
Aisee, hatuna vinyongo,watakaojaaliwa kufika hiyo siku watahesabiwa.Kuna muda inabidi kuwa mpole tu, kama sio rizki hauwezi lazimisha...
Tuhesabiwe tu kiroho safi, vinyongo na kuweka vitu moyoni inaumiza.
🤣🤣🤣Seven Facts About F***ing
1. F***ing twice a week
is good for your health.
2. F***ing gives proper relaxation for your mind
and body.
3. F***ing refreshes you.
4. After f***ing don't eat too much; go for more liquids.
5. When f***ing try to stay in bed because it can save you valuable energy.
6. F***ing can even reduce your cholesterol level.
7. F***ing makes you more committed and you can be sensitive and receive from above
SO REMEMBER - FASTING is good for your health.
Try fasting even once a year and your life will change![]()
🤣🤣🤣UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
🤣🤣🤣