Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Seven Facts About F***ing

1. F***ing twice a week
is good for your health.

2. F***ing gives proper relaxation for your mind
and body.

3. F***ing refreshes you.

4. After f***ing don't eat too much; go for more liquids.

5. When f***ing try to stay in bed because it can save you valuable energy.

6. F***ing can even reduce your cholesterol level.

7. F***ing makes you more committed and you can be sensitive and receive from above

SO REMEMBER - FASTING is good for your health.
Try fasting even once a year and your life will change
🤣🤣🤣
I thought it was all about the other 'F' word until I reached the last two sentences 😊
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
🤣🤣🤣
 
'
20220728_135406.jpg
 
Back
Top Bottom