Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

BAUNSA ALIYETAKA KUJIBADILISHA AFARIKI.

Baunsa huyo wa nchini Brazil aliyekichoma Sindano ili azidi kujazia amefariki

Valdir Segato (55) awali alionywa na madaktari kuwa kemikali anazojichoma ni hatari zinaweza kumletea matatizo ikiwemo kuua neva na kumfanya akatwe viungo ila akawa anapuuza na kusema anataka kuwa na mwili kama wa role model wake Amord Schwarzenegger au Hulk toka filamu za Marvel's.

Alikimbizwa hospitali baada ya kupata matatizo ya kushindwa kupumua vizuri na kusadikika kuwa na shambulio la moyo ndipo amefariki na kipindi cha nyuma alipata hayo matatizo ila akawa hakomi na akaendelea kujichoma sindano azidi kufutuka.

Picha zake nyingine kwenye koment.View attachment 2312524
Kwa hayo matiti lazima ashindwe kupumua...
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
 
FB_IMG_1659505085076.jpg
 
Back
Top Bottom