myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,061
Mwanae anaifinyia kwa ndani 😂🤣
Wazee wa kitonga kwao ni fursa hiyo 😂🤣
mlinzi kashindwa kujizuia?😁😁
Ushapasahau pale nilikupelekagaWapi??

Mwanza nela hapo![]()

nili assume labda jamaa yeye na bibie ake wote wana jezi za yanga, so jamaa alivyotoka hiyo siku akakurupuka kuvaa jezi bila kuangalia!
Kweli kabisa.Ukipata anayejielewa ni raha sana. Wengine ukimfanyia haya anakuona msumbufu tu. Yeye anataka mazawadi makuuubwaaa...kumbe vitu vidogo vidogo na matendo ya upendo ndo hasa huimarisha mahusiano...
Uwanja wa fujoUshapasahau pale nilikupelekaga![]()
