Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda
View attachment 2298016


ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?





