Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda
View attachment 2298016
ndio maana nimesema ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kutafuta suluhisho ikashindikana. Hata watu wanaopendana sana leo kesho wanaweza kuachana si ndio?
 
Never play with someone's feelings. But then how will you get utelezi?
Screenshot_20220618-092533_Telegram.jpg
 
Back
Top Bottom