Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako


Screenshot_20220720-105350_Instagram.jpg
 
mimi siwezi kubloku mtu, hatua ya kubloku ni ya mwisho kabisa mtu akiona nimefika huko asijisumbue hata kunisalimia akiniona
Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda
Screenshot_20220618-092507_Telegram.jpg
 
Back
Top Bottom