Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Mtemi Hangaya kajibiwa vizuri !!!
Adīnamasala gawiza!
Mtemi Hangaya kajibiwa vizuri !!!
Mtuwachege jamani...
Kaache hako kakurugenzi kangu kapendwa karembo. Katashangaa siku hiyo kutukuta tumekaa high table pamoja na wanafamilia. Ndo katajua kuwa kuongea sana siyo kujua kila kitu.Shimba Ya Buyenze tunanyimwa mwaliko Mkurugenzi
Kwahiyo utakuwa upande wa familia ya kamanda na siyo upande wa familia yangu?Kaache hako kakurugenzi kangu kapendwa karembo. Katashangaa siku hiyo kutukuta tumekaa high table pamoja na wanafamilia. Ndo katajua kuwa kuongea sana siyo kujua kila kitu.
Kamanda P ni mtu wangu wa karibu sana na hataniangusha....
Mimi ni kote kote ila tutajigawa. Mama Mchungaji atakuja kwako na mimi kwa kamanda P. High table hatukosi yaani wuhuuKwahiyo utakuwa upande wa familia ya kamanda na siyo upande wa familia yangu?




We mkuu ulizitumia hizi au nawe ulisimuliwa? Lete mwongozo

Angebadilisha chap. Sema labda alizubaa tu
Haya sasa....
Kamishina wa utumishi huko kwao Zanzibar au ni wa Jamhuri nzima?
Ma classmates wangu wana mavyeo makubwa lakini wanaringa hao. Si waniapishe tu jamani?"Lakini pia kwenye hii team nina college mate wangu na yeye pia leo nimemuapisha,"- Rais @SuluhuSamia
#UapishoViongoziIkulu.
Hahahaaaaammeona eeeeee tupendane maclassmates au schoolmates ipo siku tutaapishana hivi
Kujiendekeza tu!Wanaume tuna mitihani sana
![]()
Sijafika Uyole hivyo siwezi kukubishia ila wote waliomo humu JF ni vimbaumbau.....Kisukuma hicho, wanyaki ni mabonge![]()




MILF...







Kwahiyo mjomba unanihama juu Kwa juu?Mimi ni kote kote ila tutajigawa. Mama Mchungaji atakuja kwako na mimi kwa kamanda P. High table hatukosi yaani wuhuu![]()
Mwizi wa mapenzi🤣🤣🤣Na mwizi 🤣🤣🤣