Kilimanjaro na Chuga moja hiyo....[emoji2221]Rock city [emoji23]
Yupo neutral huyo 🤣Mi nilishapeleka kesi mapema na alishatoa hukumu. You are guilty! Na hukumu huwa haitenguliwi. Utajisumbua tu kwenda kunishtakia. She is on my side! [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Umenuniwa na nani?Yupo neutral huyo [emoji1787]
Mara mia hata ungenisemea Kwa kamanda angekuwa upande wako.
Halafu kwani kuna adhabu ingine zaidi ya hii ya kununiwa?[emoji2]
Kuna mkurugenzi anapita ujumbe wangu kama hauoni vile😬Umenuniwa na nani?
Hayuko neutral yule. Yuko upande wangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123][emoji123]
Kamanda ni mtu mmoja namheshimu sana. Huko nitakuwa napeleka kesi kubwa kubwa tu...au nikipambana na wewe halafu ukanishinda na najua kuwa nina haki. Nitakuwa nakonyorosha mwenyewe tu kwanza...
Hakika nawaombea mfikie malengo yenu matakatifu. Huku nje huku hali wala si shwari msifikiri mchezo. Mungu na Akawasaidie [emoji1545][emoji1545]
Mimi huyu? Na aibu wapi na wapi 🤣🤣
Kwani wachaga tumewakosea nini jamaniUnahisi huyu anaweza kuwa anatokea mkoa gani?View attachment 2233163
Endelezeni chuki zenu 🤣🤣 kamkono muhimu..
[emoji16][emoji3][emoji3]ndio maana wengine wanafumba machoJamaniiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2232080
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu unazo sana...Mimi huyu? Na aibu wapi na wapi 🤣🤣
Ila nimecheka
Usibane sana, achia achia basi...Endelezeni chuki zenu 🤣🤣 kamkono muhimu..
Unataka nikuitie?Kuna mkurugenzi anapita ujumbe wangu kama hauoni vile[emoji51]
Malengo gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi ya kwangu ni kutafuta kazi[emoji16]
Ya kamanda ni kujiunga praise and worship team kama mimi.