Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Depal njoo hapa...
Screenshot_20220521-174244_1.jpg
 
Mi nilishapeleka kesi mapema na alishatoa hukumu. You are guilty! Na hukumu huwa haitenguliwi. Utajisumbua tu kwenda kunishtakia. She is on my side!
Yupo neutral huyo 🤣
Mara mia hata ungenisemea Kwa kamanda angekuwa upande wako.

Halafu kwani kuna adhabu ingine zaidi ya hii ya kununiwa?😃
 
Yupo neutral huyo
Mara mia hata ungenisemea Kwa kamanda angekuwa upande wako.

Halafu kwani kuna adhabu ingine zaidi ya hii ya kununiwa?
Umenuniwa na nani?

Hayuko neutral yule. Yuko upande wangu

Kamanda ni mtu mmoja namheshimu sana. Huko nitakuwa napeleka kesi kubwa kubwa tu...au nikipambana na wewe halafu ukanishinda na najua kuwa nina haki. Nitakuwa nakonyorosha mwenyewe tu kwanza...

Hakika nawaombea mfikie malengo yenu matakatifu. Huku nje huku hali wala si shwari msifikiri mchezo. Mungu na Akawasaidie
 
Umenuniwa na nani?

Hayuko neutral yule. Yuko upande wangu

Kamanda ni mtu mmoja namheshimu sana. Huko nitakuwa napeleka kesi kubwa kubwa tu...au nikipambana na wewe halafu ukanishinda na najua kuwa nina haki. Nitakuwa nakonyorosha mwenyewe tu kwanza...

Hakika nawaombea mfikie malengo yenu matakatifu. Huku nje huku hali wala si shwari msifikiri mchezo. Mungu na Akawasaidie
Kuna mkurugenzi anapita ujumbe wangu kama hauoni vile😬


Malengo gani?🤣🤣🤣🤣🤣🤣mimi ya kwangu ni kutafuta kazi😁
Ya kamanda ni kujiunga praise and worship team kama mimi.
 
Back
Top Bottom