Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Nyie tena, mbona mnajulikana vizuriHalafu uwe Msukuma sasa weeh!![]()


Tunawasubiri kwa hamuTupo kunyosha akina Junia wa watu na wazazi wao huku tukisubiri akina Junia wetu
Shimba Ya Buyenze tunanyimwa mwaliko MkurugenziMtajutraaaaa wewe na mkurugenzi![]()
Kisukuma hicho, wanyaki ni mabongeHiki lazima kitakuwa kimbaumbau na likely Kinyaki au Kizaramo!![]()


Tabia zenu vi last bornNilikuwa namchimba biti bro..hadi baba anaingilia kati.
Namwambia nipige sasa kama unaweza![]()