Kudadeeki huyu legend kuna kitu kakirushaa

Hapana sina babeRajuvination, sorry babe! Nimeformat hdd yangu, unayo hiyo movie ya 3idiot?
HDD yangu ilikuwa na movie kama 400 hivi nimeiformatHapana sina babe


Inaonekana kuna jamaa mmoja huko mawinguni kajisahau kufunika nyeti zake..😀😀😀 HAKUNA MKAMILIFU
Inaonekana kuna jamaa mmoja huko mawinguni kajisahau kufunika nyeti zake..HAKUNA MKAMILIFU
#KUJISAHAU_KUPO_TU.








Dah ulifanya vizuri...sasa wewe ulijisikiajeHuwa yanatokeaga haya jamani!
Sikumuacha kabisaa jamani, nilimsamehe. Alikuwa na maumivu makali sana



Hahaha mwanangu unazingua..
Kwan mkuu iyo DPP ni ofisi inayohusika na nini apa bongo, nataka nikaombe kazi..Yaani hapa ni sawa na "UNAJITEKENYA MWENYEWE, UNACHEKA MWENYEWE". Ofisi nyeti kama ya DPP inawezekana vipi kuibiwa...???!!!