Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220417-WA0084.jpg
 
Jamani Jumatatu ya Pasaka nimeandaa hafla fupi nyumbani kwangu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa mambo kadhaa aliyonitendea.

Kutakuwa na vinywaji vya aina mbalimbali na kuna mbuzi atachomwa na mtaalamu wa kuchoma nyama atakuja na jiko lake palepale.



NB: Nawaomba wote jamani mjitahidi kufuata mfano wa huyo jamaa aliyenifowadia hiyo sms, na nyie muandae hafla ya kumshukuru Mungu majumbani kwenu kwa mambo mbalimbali aliyowatendea. Mi nikiwa na hela ntaandaa pia.
Haaaaaa mkuu, tayari nilikuwa nachagua suti matata hapa

Ila paragraph ya mwisho sasa
 
Back
Top Bottom